Yeremia 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaikomesha kutoka mahali hapa mbele ya macho yenu sauti ya furaha na sauti ya kushangilia, sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi.’+
9 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaikomesha kutoka mahali hapa mbele ya macho yenu sauti ya furaha na sauti ya kushangilia, sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi.’+