Yeremia 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 bali: “Kama anavyoishi Yehova aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako alikuwa amewatawanya!” na hakika mimi nitawarudisha kwenye nchi yao, niliyowapa mababu zao.’+
15 bali: “Kama anavyoishi Yehova aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako alikuwa amewatawanya!” na hakika mimi nitawarudisha kwenye nchi yao, niliyowapa mababu zao.’+