Yeremia 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hakika yeye atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaopeleka mizizi yake kando ya mto; naye hataona joto linapoingia, bali kwa kweli majani yake yatakuwa mengi.+ Na katika mwaka wa ukame+ hatahangaika, wala hataacha kuzaa matunda. Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 17:8 w11 3/15 14; w11 4/15 28; w09 3/1 16-17 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:8 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,9/2019, uku. 8 Mnara wa Mlinzi,4/15/2011, uku. 283/15/2011, uku. 143/1/2009, kur. 16-17
8 Na hakika yeye atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaopeleka mizizi yake kando ya mto; naye hataona joto linapoingia, bali kwa kweli majani yake yatakuwa mengi.+ Na katika mwaka wa ukame+ hatahangaika, wala hataacha kuzaa matunda.
17:8 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,9/2019, uku. 8 Mnara wa Mlinzi,4/15/2011, uku. 283/15/2011, uku. 143/1/2009, kur. 16-17