Yeremia 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa nini kwa hakika hakuniua ndani ya tumbo la uzazi, ili mama yangu awe kaburi langu na tumbo lake la uzazi liwe na mimba mpaka wakati usio na kipimo?+
17 Kwa nini kwa hakika hakuniua ndani ya tumbo la uzazi, ili mama yangu awe kaburi langu na tumbo lake la uzazi liwe na mimba mpaka wakati usio na kipimo?+