Yeremia 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Na watu hawa au nabii au kuhani wanapokuuliza, wakisema, ‘Mzigo wa Yehova ni nini?’+ wewe pia utawaambia, ‘ “Ninyi—Lo! jinsi mlivyo mzigo!+ Nami nitawaacha ninyi,”+ asema Yehova.’ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 23:33 w07 3/15 11 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:33 Mnara wa Mlinzi,3/15/2007, uku. 113/1/1994, uku. 12
33 “Na watu hawa au nabii au kuhani wanapokuuliza, wakisema, ‘Mzigo wa Yehova ni nini?’+ wewe pia utawaambia, ‘ “Ninyi—Lo! jinsi mlivyo mzigo!+ Nami nitawaacha ninyi,”+ asema Yehova.’