-
Yeremia 23:38Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
38 Na ikiwa mnaendelea kusema, “Mzigo wa Yehova!” basi Yehova amesema hivi: “Kwa sababu mnasema, ‘Hili neno ndilo mzigo wa Yehova,’ nilipoendelea kumtuma mtu kwenu, na kusema, ‘Msiseme: “Mzigo wa Yehova!”’
-