Yeremia 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 na wafalme wote wa kaskazini walio karibu na walio mbali, mmoja baada ya mwingine, na falme nyingine zote za dunia zilizo juu ya uso wa nchi; naye mfalme wa Sheshaki+ atakunywa baada yao. Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:26 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, kur. 20-21
26 na wafalme wote wa kaskazini walio karibu na walio mbali, mmoja baada ya mwingine, na falme nyingine zote za dunia zilizo juu ya uso wa nchi; naye mfalme wa Sheshaki+ atakunywa baada yao.