Yeremia 26:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Katika mwanzo wa utawala wa kifalme wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa Yehova, na kusema:
26 Katika mwanzo wa utawala wa kifalme wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa Yehova, na kusema: