Yeremia 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Na pia palikuwa na mtu aliyekuwa akitoa unabii katika jina la Yehova, Uriya mwana wa Shemaya kutoka Kiriath-yearimu.+ Naye aliendelea kutoa unabii juu ya jiji hili na juu ya nchi hii sawasawa na maneno yote ya Yeremia.
20 “Na pia palikuwa na mtu aliyekuwa akitoa unabii katika jina la Yehova, Uriya mwana wa Shemaya kutoka Kiriath-yearimu.+ Naye aliendelea kutoa unabii juu ya jiji hili na juu ya nchi hii sawasawa na maneno yote ya Yeremia.