Yeremia 27:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wao wanawatolea unabii wa uwongo, kusudi mpelekwe mbali kutoka katika nchi yenu; nami niwatawanye, nanyi mwangamie.+
10 Kwa maana wao wanawatolea unabii wa uwongo, kusudi mpelekwe mbali kutoka katika nchi yenu; nami niwatawanye, nanyi mwangamie.+