-
Yeremia 29:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 basi Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya Shemaya+ wa Nehelamu na juu ya uzao wake.’+
“‘“‘Hatakuwa na mtu anayekaa katikati ya kikundi hiki cha watu;+ wala hatautazama wema ambao nitawafanyia watu wangu,’+ asema Yehova, ‘kwa maana amesema maasi ya waziwazi juu ya Yehova.’”’”+
-