Yeremia 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakuna yeyote anayetetea mambo yako, kidonda chako.+ Hakuna njia ya kuponya, hakuna matibabu, kwa ajili yako.+
13 Hakuna yeyote anayetetea mambo yako, kidonda chako.+ Hakuna njia ya kuponya, hakuna matibabu, kwa ajili yako.+