Yeremia 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa nini unapaaza kilio kwa sababu ya kuvunjika kwako?+ Maumivu yako hayawezi kupona kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi. Nimekutendea mambo hayo.
15 Kwa nini unapaaza kilio kwa sababu ya kuvunjika kwako?+ Maumivu yako hayawezi kupona kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi. Nimekutendea mambo hayo.