34 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, wakati Nebukadreza mfalme wa Babiloni+ na jeshi lake lote+ na falme zote za dunia, mamlaka iliyo chini ya mkono wake,+ na vikundi vyote vya watu vilipokuwa vikipiga vita juu ya Yerusalemu na juu ya majiji yake yote,+ kusema: