Yeremia 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini ikawa kwamba Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipokuja juu ya nchi+ tukaanza kusema, ‘Njooni, tuingie ndani ya Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Wakaldayo na kwa sababu ya jeshi la Wasiria, nasi tukae Yerusalemu.’”+
11 Lakini ikawa kwamba Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipokuja juu ya nchi+ tukaanza kusema, ‘Njooni, tuingie ndani ya Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Wakaldayo na kwa sababu ya jeshi la Wasiria, nasi tukae Yerusalemu.’”+