Yeremia 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Yeremia akawaambia nyumba ya Warekabu: “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kwa sababu mmeitii amri ya Yehonadabu+ babu yenu nanyi mnaendelea kuzishika amri zake zote na kufanya kulingana na yote ambayo aliwaamuru,+
18 Na Yeremia akawaambia nyumba ya Warekabu: “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kwa sababu mmeitii amri ya Yehonadabu+ babu yenu nanyi mnaendelea kuzishika amri zake zote na kufanya kulingana na yote ambayo aliwaamuru,+