Yeremia 36:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Chukua tena kitabu cha kukunjwa, kingine, nawe uandike juu yake yale maneno yote ya kwanza yaliyokuwa juu ya kile kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda aliteketeza.+
28 “Chukua tena kitabu cha kukunjwa, kingine, nawe uandike juu yake yale maneno yote ya kwanza yaliyokuwa juu ya kile kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda aliteketeza.+