32 Na Yeremia akachukua kitabu kingine cha kukunjwa, akampa Baruku mwana wa Neria, mwandishi,+ ambaye aliandika juu yake kutoka kinywani+ mwa Yeremia maneno yote ya kile kitabu ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikuwa ameteketeza motoni;+ na maneno mengine mengi kama hayo yakaongezwa kwenye hayo.