Yeremia 38:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikiwa wakuu+ watasikia kwamba nimesema nawe nao kwa kweli waje kwako na kukuambia, ‘Tafadhali, tuambie, Ulimwambia nini mfalme? Usitufiche jambo lolote, nasi hatutakuua. Na mfalme alikuambia habari gani?’
25 Na ikiwa wakuu+ watasikia kwamba nimesema nawe nao kwa kweli waje kwako na kukuambia, ‘Tafadhali, tuambie, Ulimwambia nini mfalme? Usitufiche jambo lolote, nasi hatutakuua. Na mfalme alikuambia habari gani?’