41 Kwa hiyo ikawa kwamba katika mwezi wa saba, Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama+ wa uzao wa kifalme+ na aliye wa wakuu wa mfalme na watu wengine kumi pamoja naye+ wakamjia Gedalia mwana wa Ahikamu kule Mispa.+ Nao hapo wakaanza kula mkate pamoja kule Mispa.+