Yeremia 42:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 mkisema: “Hapana, bali tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambapo hatutaona vita wala hatutaisikia sauti ya baragumu wala kushinda njaa kwa kukosa mkate; na hapo ndipo tutakapokaa”;+
14 mkisema: “Hapana, bali tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambapo hatutaona vita wala hatutaisikia sauti ya baragumu wala kushinda njaa kwa kukosa mkate; na hapo ndipo tutakapokaa”;+