Yeremia 42:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami ninawaambia ninyi leo, lakini hakika hamtaitii sauti ya Yehova Mungu wenu wala jambo lolote ambalo amenituma nalo kwenu.+
21 Nami ninawaambia ninyi leo, lakini hakika hamtaitii sauti ya Yehova Mungu wenu wala jambo lolote ambalo amenituma nalo kwenu.+