7 “Na sasa Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kwa nini mnaleta msiba mkubwa juu ya nafsi+ zenu, ili mumkatilie mbali kutoka kwenu mwanamume na mwanamke, mtoto mdogo na yule anayenyonya,+ kutoka katikati ya Yuda, hivi kwamba hamjiachii mabaki;