15 Na wanaume wote waliojua kwamba wake zao walikuwa wakiifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu,+ na wake wote waliokuwa wanasimama wakiwa kutaniko kubwa, na watu wote waliokuwa wakikaa katika nchi ya Misri,+ katika Pathrosi,+ wakamjibu Yeremia, wakisema: