- 
	                        
            
            Yeremia 44:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
25 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kuhusu ninyi wanaume na wake zenu,+ ninyi wanawake pia mnasema kwa vinywa vyenu, (na kwa mikono yenu mmetimiza,) mkisema: “Bila shaka tutatimiza nadhiri zetu ambazo tumeweka,+ ili kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji.”+ Ninyi wanawake bila shaka mtazitimiza nadhiri zenu, nanyi bila shaka mtazifanya nadhiri zenu.’
 
 -