Yeremia 48:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana katika njia ya kwenda mpaka Luhithi+ mtu anapanda akilia—kuna kilio. Kwa maana katika njia ya kushuka kutoka Horonaimu kuna kilio chenye kutaabisha juu ya ule mvunjiko+ ambao watu wamesikia.
5 Kwa maana katika njia ya kwenda mpaka Luhithi+ mtu anapanda akilia—kuna kilio. Kwa maana katika njia ya kushuka kutoka Horonaimu kuna kilio chenye kutaabisha juu ya ule mvunjiko+ ambao watu wamesikia.