Yeremia 49:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na ngamia+ zao wataporwa, na makundi yao yaliyo mengi yatakuwa nyara. Nami nitawatawanya kwa kila upepo,+ wale ambao nywele zao zimekatwa kwenye vipaji vya nyuso;+ nami nitaleta maafa yao kutoka katika maeneo yote karibu nalo,” asema Yehova.
32 Na ngamia+ zao wataporwa, na makundi yao yaliyo mengi yatakuwa nyara. Nami nitawatawanya kwa kila upepo,+ wale ambao nywele zao zimekatwa kwenye vipaji vya nyuso;+ nami nitaleta maafa yao kutoka katika maeneo yote karibu nalo,” asema Yehova.