Yeremia 50:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Yehova amefungua ghala lake, naye anatoa silaha za shutuma yake.+ Kwa maana kuna kazi aliyo nayo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, katika nchi ya Wakaldayo.+
25 “Yehova amefungua ghala lake, naye anatoa silaha za shutuma yake.+ Kwa maana kuna kazi aliyo nayo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, katika nchi ya Wakaldayo.+