Yeremia 51:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni,+ na kila mmoja wenu aiponye nafsi yake mwenyewe.+ Msifanywe kuwa wasio na uhai kupitia kosa lake.+ Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.+ Kuna tendo ambalo anamlipa.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 51:6 w08 6/15 8-9 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 51:6 Mnara wa Mlinzi,6/15/2008, kur. 8-9
6 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni,+ na kila mmoja wenu aiponye nafsi yake mwenyewe.+ Msifanywe kuwa wasio na uhai kupitia kosa lake.+ Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.+ Kuna tendo ambalo anamlipa.+