Ezekieli 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha kerubi yule akanyoosha mkono wake kutoka katikati ya makerubi mpaka kwenye moto+ uliokuwa katikati ya makerubi,+ akauchukua na kuutia kwenye mikono ya yule mwanamume aliyevaa kitani,+ naye akauchukua na kwenda nje.
7 Kisha kerubi yule akanyoosha mkono wake kutoka katikati ya makerubi mpaka kwenye moto+ uliokuwa katikati ya makerubi,+ akauchukua na kuutia kwenye mikono ya yule mwanamume aliyevaa kitani,+ naye akauchukua na kwenda nje.