Ezekieli 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nawe utatoa nje mizigo yako kama mizigo ya uhamisho wakati wa mchana mbele ya macho yao, na wewe mwenyewe utatoka nje wakati wa jioni mbele ya macho yao kama wale wanaotolewa ili kupelekwa uhamishoni.+
4 Nawe utatoa nje mizigo yako kama mizigo ya uhamisho wakati wa mchana mbele ya macho yao, na wewe mwenyewe utatoka nje wakati wa jioni mbele ya macho yao kama wale wanaotolewa ili kupelekwa uhamishoni.+