Ezekieli 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 hata kama watu hawa watatu wangekuwa katikati yake,+ kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hawangekomboa wana wala mabinti, bali wao, wao wenyewe tu, ndio wangekombolewa.’ ”+
18 hata kama watu hawa watatu wangekuwa katikati yake,+ kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hawangekomboa wana wala mabinti, bali wao, wao wenyewe tu, ndio wangekombolewa.’ ”+