Ezekieli 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Umenolewa ili kupanga uchinjaji; umesuguliwa ili upate kumetameta.’ ” ’ ”+ “Au je, tufurahi?”+ “ ‘Je, huo unaikataa fimbo ya enzi+ ya mwana wangu mwenyewe,+ kama unavyoukataa kila mti?+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:10 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 19
10 Umenolewa ili kupanga uchinjaji; umesuguliwa ili upate kumetameta.’ ” ’ ”+ “Au je, tufurahi?”+ “ ‘Je, huo unaikataa fimbo ya enzi+ ya mwana wangu mwenyewe,+ kama unavyoukataa kila mti?+