28 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, toa unabii, nawe useme, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi kuhusu wana wa Amoni na kuhusu shutuma kutoka kwao.’ Nawe useme, ‘Upanga, upanga umechomolewa kwa ajili ya uchinjaji, umesuguliwa ili kuufanya uangamize, ili kumetameta,+