Ezekieli 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hao ndio walioufunua uchi wake.+ Wakawachukua wanawe na binti zake,+ naye wakamuua kwa upanga. Akaja kuwa na sifa mbaya kwa wanawake, nao wakatekeleza matendo ya hukumu juu yake.
10 Hao ndio walioufunua uchi wake.+ Wakawachukua wanawe na binti zake,+ naye wakamuua kwa upanga. Akaja kuwa na sifa mbaya kwa wanawake, nao wakatekeleza matendo ya hukumu juu yake.