Ezekieli 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Waliufunua uchi+ wake na kuwakamata wanawe na mabinti zake,+ naye wakamuua kwa upanga. Akawa na sifa mbaya kati ya wanawake, nao wakatekeleza hukumu dhidi yake.
10 Waliufunua uchi+ wake na kuwakamata wanawe na mabinti zake,+ naye wakamuua kwa upanga. Akawa na sifa mbaya kati ya wanawake, nao wakatekeleza hukumu dhidi yake.