Ezekieli 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “ ‘Nitakufanya kuwa vitisho vya ghafula,+ nawe hutakuwapo; nawe utatafutwa,+ lakini hutapatikana tena kamwe mpaka wakati usio na kipimo,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
21 “ ‘Nitakufanya kuwa vitisho vya ghafula,+ nawe hutakuwapo; nawe utatafutwa,+ lakini hutapatikana tena kamwe mpaka wakati usio na kipimo,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”