Ezekieli 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “ ‘Wataanguka katikati ya wale waliouawa kwa upanga.+ Yeye ametiwa mkononi mwa upanga. Mkokoteeni mbali pamoja na umati wake wote.
20 “ ‘Wataanguka katikati ya wale waliouawa kwa upanga.+ Yeye ametiwa mkononi mwa upanga. Mkokoteeni mbali pamoja na umati wake wote.