Ezekieli 32:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “ ‘Kwa maana amesababisha hofu yake katika nchi ya walio hai,+ naye atalazwa katikati ya watu ambao hawajatahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, yeye Farao na umati wake wote,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
32 “ ‘Kwa maana amesababisha hofu yake katika nchi ya walio hai,+ naye atalazwa katikati ya watu ambao hawajatahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, yeye Farao na umati wake wote,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”