Ezekieli 35:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe utaliambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mimi hapa niko dhidi yako, Ee eneo lenye milima la Seiri,+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako+ na kukufanya uwe mahame, naam, kuwa ukiwa.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 35:3 “Kila Andiko,” uku. 133
3 Nawe utaliambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mimi hapa niko dhidi yako, Ee eneo lenye milima la Seiri,+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako+ na kukufanya uwe mahame, naam, kuwa ukiwa.+