Ezekieli 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami hakika nitalifanya eneo lenye milima la Seiri kuwa mahame, naam, kuwa ukiwa,+ nami nitamkatilia mbali kutoka hilo mtu yeyote anayepita katikati na mtu anayerudi.+
7 Nami hakika nitalifanya eneo lenye milima la Seiri kuwa mahame, naam, kuwa ukiwa,+ nami nitamkatilia mbali kutoka hilo mtu yeyote anayepita katikati na mtu anayerudi.+