Ezekieli 35:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitakufanya kuwa mahame yenye ukiwa yanayodumu mpaka wakati usio na kipimo, nayo majiji yako mwenyewe hayatakaliwa;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 35:9 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 24
9 Nitakufanya kuwa mahame yenye ukiwa yanayodumu mpaka wakati usio na kipimo, nayo majiji yako mwenyewe hayatakaliwa;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+