Ezekieli 38:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa hiyo toa unabii, Ee mwana wa binadamu, nawe umwambie Gogu, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Je, haitakuwa katika siku ile wakati watu wangu Israeli wanapokaa kwa usalama kwamba utajua hilo?+
14 “Kwa hiyo toa unabii, Ee mwana wa binadamu, nawe umwambie Gogu, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Je, haitakuwa katika siku ile wakati watu wangu Israeli wanapokaa kwa usalama kwamba utajua hilo?+