Ezekieli 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Je, wewe ndiye+ yuleyule niliyesema juu yake katika siku za zamani kwa mkono wa watumishi wangu hao manabii wa Israeli, waliokuwa wakitoa unabii katika siku hizo—miaka—juu ya kukuleta wewe juu yao?’+
17 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Je, wewe ndiye+ yuleyule niliyesema juu yake katika siku za zamani kwa mkono wa watumishi wangu hao manabii wa Israeli, waliokuwa wakitoa unabii katika siku hizo—miaka—juu ya kukuleta wewe juu yao?’+