12 “Lo! Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,+ ewe mwenye kung’aa, mwana wa mapambazuko! Jinsi ulivyokatwa ukaangushwa kwenye dunia,+ wewe uliyekuwa ukiyaondolea mataifa uwezo!+
31 “Tazama! Mimi niko dhidi yako,+ Ee Kimbelembele,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, “kwa maana siku yako lazima itakuja, wakati ambapo nitakukazia fikira.
17 “ ‘ “Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako inayong’aa.+ Nitakutupa chini.+ Nitakuweka mbele ya wafalme, ili wakutazame.+