Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.

  • Yeremia 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+

  • Ezekieli 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninampa Nebukadreza mfalme wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atauchukua utajiri wake na kuteka nyara kubwa kutokana nayo+ na kuipora kwa wingi sana; nayo itakuwa malipo kwa ajili ya jeshi lake.’

  • Danieli 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kwa sababu ya ukuu ambao Yeye alimpa, vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vilitetemeka na kuogopa mbele yake.+ Mtu yeyote aliyetaka kumuua, alimuua; mtu yeyote aliyetaka kumpiga, alimpiga; na mtu yeyote aliyetaka kumwinua, alimwinua; na mtu yeyote aliyetaka kumfedhehesha, alimfedhehesha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki