Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ghadhabu ya mfalme ni kama wajumbe wa kifo,+ lakini mwenye hekima huigeuza.+

  • Danieli 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo mfalme akakasirika na kuwa na ghadhabu sana,+ naye akaagiza watu wote wenye hekima wa Babiloni waangamizwe.+

  • Danieli 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na yeyote ambaye hataanguka chini na kuabudu+ atatupwa wakati huohuo+ ndani ya tanuru inayowaka moto.”+

  • Danieli 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nami natoa agizo,+ kwamba kikundi chochote cha watu, cha taifa au lugha ambacho kinasema jambo lolote baya juu ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, kikatwe vipande-vipande,+ na nyumba zao zigeuzwe kuwa choo cha watu wote;+ kwa maana hakuna mungu mwingine yeyote anayeweza kuokoa kama huyu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki