Ezekieli 40:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Urefu wa ukumbi ulikuwa mikono 20, na upana wake mikono 11. Nao walikuwa wakiupanda kwa kutumia ngazi. Na palikuwa na nguzo kando ya miimo ya kando, mmoja hapa na mmoja pale.+
49 Urefu wa ukumbi ulikuwa mikono 20, na upana wake mikono 11. Nao walikuwa wakiupanda kwa kutumia ngazi. Na palikuwa na nguzo kando ya miimo ya kando, mmoja hapa na mmoja pale.+