Ezekieli 40:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Ukumbi ulikuwa na urefu wa mikono 20 na upana wa mikono 11.* Watu walipanda ngazi ili kufika kwenye ukumbi huo. Kulikuwa na nguzo kwenye miimo ya pembeni, nguzo moja kila upande.+
49 Ukumbi ulikuwa na urefu wa mikono 20 na upana wa mikono 11.* Watu walipanda ngazi ili kufika kwenye ukumbi huo. Kulikuwa na nguzo kwenye miimo ya pembeni, nguzo moja kila upande.+