Ezekieli 42:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kama ilivyokuwa ile miingilio ya vyumba vya kulia chakula iliyoelekea kusini ndivyo ulivyokuwa ule mwingilio mbele ya njia, njia iliyo mbele ya ukuta unaolingana wa mawe kuelekea mashariki, mtu anapoiingia.+
12 Na kama ilivyokuwa ile miingilio ya vyumba vya kulia chakula iliyoelekea kusini ndivyo ulivyokuwa ule mwingilio mbele ya njia, njia iliyo mbele ya ukuta unaolingana wa mawe kuelekea mashariki, mtu anapoiingia.+